Bani Israil 17:14 اقرا كتابك كفى بنفسك اليوم عليك حسيبا ١٤
ٱقۡرَأۡ
كِتَٰبَكَ
كَفَىٰ
بِنَفۡسِكَ
ٱلۡيَوۡمَ
عَلَيۡكَ
حَسِيبٗا
١٤
Ataambiwa: Soma kitabu chako! Nafsi yako inakutosha leo kukuhisabu. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Ataambiwa, «Soma kitabu cha matendo yako.» Hapo atasoma, hata kama hakuwa akijua kusoma ulimwenguni, «Leo nafsi yako itakutosheleza kuwa ni yenye kukuhesabia matendo yako, upate kujua malipo yake.» Huu ni miongoni mwa uadilifu na uchungaji haki mkubwa kabisa kwamba mja aambiwe, ‘jihesabu nafsi yako,…
Ataambiwa, «Soma kitabu cha matendo yako.» Hapo atasoma, hata kama hakuwa akijua kusoma ulimwenguni, «Leo nafsi yako itakutosheleza kuwa ni yenye kuku…